Connect with us

General News

Gavana ashauri wakazi wapokee chanjo – Taifa Leo

Published

on

[ad_1]

Gavana ashauri wakazi wapokee chanjo – Taifa Leo

Corona: Gavana ashauri wakazi wapokee chanjo

NA KENYA NEWS AGENCY

SERIKALI ya Kaunti ya Mandera, imetoa wito kwa wakazi wa kaunti hiyo, wajitokeze ili wapate chanjo dhidi ya corona kampeni zinapoendelea.

Gavana wa kaunti hiyo, Bw Ali Roba, aliwahimiza wakazi wajitokeze kupokea chanjo.

“Tuko hatarini kwa kwa sababu tumepakana na nchi za Somalia na Ethiopia. Kila mmoja anafaa ajitokeze ili kupambana na janga hilo hatari,” akasema Bw Roba.

[ad_2]

Source link

Comments

comments

Trending