[ad_1]
Wakulima walia hasara kwa kukosa soko la matunda
NA SIAGO CECE
BAADHI ya wakulima wa matunda katika Kaunti ya Kwale, wanapata hasara kutokana na ukosefu wa soko kwa bidhaa zao licha ya mavuno mengi.
Wakulima katika Wadi ya Kubo Kusini, wanasema matunda yao mengi yanaharibika katika mashamba yao, huku wakinyanyaswa na mawakala.
Bi Sabina Jeremiah, 73, alisema ingawa amepata mavuno mengi, hana wanunuzi.
Next article
Wagonjwa wapata taabu mgomo ukianza
[ad_2]
Source link