Thursday, 10 September 2026
Kenyan Digest

Tano Tena singer, BEN GITHAE admits he cheated on wife and fathered twins (PHOTOs)

1 min read
Published 27 February 2019

DAILY POST: Tano Tena singer, BEN GITHAE admits he cheated on wife and fathered twins (PHOTOs) , , , 02:22 Wednesday, February 27, 2019- Controversial Gospel singer, Ben Githae, has finally admitted that he cheated on his wife of 18-years and fathered twins in the process.
Speaking during a radio interview, the Tano Tena singer confessed that he strayed out of wedlock and fathered two adorable girls with a woman called Margaret Wanjiru.  This came to light early this year when the baby mama accused Githae of neglecting his twins. 


 “Kusema ati nilitoka nje ya ndoa ni mwaka gani, siwezi nikasema ni huu mwaka au ni ule mwingine. Lakini wacha niseme nilitoka, niliteleza." Githae said

“Acha tu niconfess ilikua ni msukumo wa tabia mbaya… Uhusiano wangu na mke wangu kuna mahali ilitingika kidogo kwa sababu ya hizo mambo kutokea” He added: “Kumekua na huo msukumano mpaka ifike hapo ilikua kwa miaka, si kwa miezi. Mke wangu alijua kitambo na ikaleta ma issues at family level. Ilipoleta ma issues zingine tulitatua, zingine tukakaa na zingine tukaamua kuishi nayo. “Baby mama alipotokea public but kulikua na threats na zile tunaweza sema intimidation…. Baadae hizo threats zikawa implemented na ndipo sasa na nyinyi mkajua,”

Here is the lady he had an affair with and the twins

2012 The Kenyan DAILY POST. All Rights Reserved. - Designed by Denno