Sunday, 21 June 2026
Kenyan Digest

Jumbe za kutia moyo za Wakenya kwa wanahabari waliofutwa kazi K24

1 min read
Published 25 June 2020

Wakenya mitandaoni wameliwaza wanahabari 100 waliofutwa kazi kutoka kwa shirika la Media Max linalomilikiwa na familia ya Rais Uhuru Kenyatta mapema wiki hii

Mwanahabari Joab Mwaura na mkewe Nancy Onyancha ambao walikuwa wafanyakazi wa kampuni hiyo walikuwa miongoni mwa wanahabari waliopigwa kalamu.

Mashabiki wao wamewatakia kila la heri na kuwatia moyo kuwa mambo makubwa yanakuja mbele yao na hawapaswi kukata tamaa.

Mmoja wa mashabiki wao alielezea jinsi alivyofutwa kazi mara kadhaa lakini anamshukuru Mungu kwa sasbabu alikuwa akimfungilia njia kila mara ya kupata kazi nyingine.

TUKO.co.ke iliweza kukusanya baadhi ya jumbe kutoka kwa mashabiki wao na kwa kweli ni za kutia moyo.

Read: ENGLISH VERSION

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia [email protected] au WhatsaApp: 0732482690.

Tazama habari zaidi kutoka TUKO.co.ke

Subscribe to watch new videos