Serikali imebadilisha mapendekezo yake ya awali ya kufunguliwa kwa shule mwezi Septemba. Waziri Magoha ametangaza kuwa watahiniwa watafanya mitahani mwakani.
Serikali imebadilisha mapendekezo yake ya awali ya kufunguliwa kwa shule mwezi Septemba. Waziri Magoha ametangaza kuwa watahiniwa watafanya mitahani mwakani.


