Wednesday, 10 June 2026
Kenyan Digest

Viongozi wasutwa kukosa kikao cha Jumuia ya Pwani – Taifa Leo

Staff
1 min read
Published 8 December 2021

Viongozi wasutwa kukosa kikao cha Jumuia ya Pwani

Na ANTHONY KITIMO

WANASIASA wa Pwani wamekashifiwa kwa kutohudhuria kongamano la Jumuiya ya Pwani lililofanyika jana katika Kaunti ya Kwale.

Gavana wa Tana River, Bw Dhadho Godhana (pichani) pekee ndiye kiongozi wa kisiasa aliyekuwepo. Kiongozi wa ODM, Bw Raila Odinga aliyetarajiwa kuhudhuria, alihutubia kikao kupitia kwa mtandao akiwa Nairobi.

OKA wapendekeza hukumu ya kifo kwa watu wafisadi


About the author