Connect with us

General News

Mwanamke, 22, ahukumiwa kifungo cha maisha baada ya kumnajisi mvulana wa miaka 6 ▷ Kenya News

Published

on

[ad_1]

Mahakama ya Rongo kaunti ya Migori imemhukumu kifungo cha maisha kijakazi mwenye umri wa miaka 22 baada ya kupatikana na hatia ya kumjisi mvulana wa miaka 6

Kijakazi huyo pia alikashifiwa kwa kumuambukiza makusudi mvulana huyo ugonjwa wa zinaa.

Habari Nyingine: Nataka mshahara wa pauni 300,000 kila wiki ndiposa nisalie Man U – Marcus Rashford

Akitoa uamuzi wake hakimu mkuu wa mahakama hiyo Raymond Langa alisema kuna ushahidi wa kutosha unaomhusisha mshukiwa na kitendo hicho alichokitekeleza Machi 30, 2019.

Hakimu Langa alisisitiza kuwa mshukiwa alitekeleza kitendo hicho makusudi kwani alijua hali yake ya kiafya.

Habari Nyingine: Majambazi wapora mamilioni kwenye benki baada ya kuchimba mtaro

Mwathiriwa anasemekana kuathirika kisaikolojia ila tayari amepelekwa hospitalini kutibiwa dhidi ya magonjwa ya zinaa.

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia [email protected]; [email protected] au WhatsApp: 0732482690. Tufuate kwa Telegram: Tuko news.

Tazama habari zaidi kutoka TUKO TV

Source: Tuko



[ad_2]

Source link

Comments

comments

Facebook

Trending