Connect with us

General News

Mwanamuziki aliyevuma kwa kibao bazokizo amposa mpenziwe wa dhati ▷ Kenya News

Published

on

[ad_1]

Mwanamuziki maarufu Newton Bruz alimposa mpenzi wake wa dhati kwa njia ya kipekee na ya kuvutia mno

Kupitia kwenye video aloichapisha kwenye ukurasa wake wa Instagram, Bruz alionyesha jinsi alivyokipamba chumba alichomposia mpenzi wake huku muziki wa kuvutia ukichezwa.

Bruz ambaye alivuma kwa kibao chake cha Bazokizo alimuandikia mpenziwe ujumbe mtamu kabla ya kumposa.

Mpenziwe Bruz alifurashwa na ujumbe huo ambapo alimshukuru kwa kumpatia mapenzi kiasi hicho.

“Nimegundua kuwa kila mara ninapokubali jambo fulani na moyo wangu wote, huwa nafanya uamuzi dhabiti, mpenzi wangu nakupenda sana,” Mpenziwe Bruz aliandika Instagram.

Bruz pia ni msakati densi hodari ambaye amewahi tuzwa kwa mara kadhaa humu nchini na hata katika katika nci za kigeni.

Read ENGLISH VERSION

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia [email protected]; [email protected] au WhatsApp: 0732482690. Tufuate kwa Telegram: Tuko news.

Tazama habari zaidi kutoka TUKO TV

Source: Kiswahili.tuko.co.ke



[ad_2]

Source link

Comments

comments

Facebook

Trending