Kulingana na taarifa ya polisi, mwili wa mwanamke ulipatikana ukiwa uchi ila hajabainika iwapo wawili hao waliuana au kuna mwenye alimua mwenzake kabla ya kujiua.
Marehemu walitambulika kwa majina kama Dennis Pius mwenye umri wa miaka 28 na Susan Ndeto mwenye umri wa miaka 19.
Wapenzi hao wanasemekana walikuwa wakiishia katika mtaa wa Kayole jijini Nairobi kabla ya kusafiri mashinani baada ya Rais Uhuru Kenyatta kufuangua mipaka ya kaunti Julai 6.
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia [email protected] au WhatsaApp: 0732482690.