Wenyeji hao ambao wengi wao walikuwa wahudumu wa boadaboda wa eneo hilo, hawakuonekana kuvalia maski licha ya ukarimu wao wa kutaka kumsaidia afisa huyo.
Kulingana na wenyeji, ajali hiyo ilitokea wakati afisa wa kike alikuwa akifunzwa kuendesha gari na afisa mwenzake wa kiume ambapo waligonga ukuta wa kanisa na kuuharibu kabisa.
Wenyeji walitaka amaafisa hao kuchukuliwa hatua na kuwafidia katika kulikarabati kanisa hilo.
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia [email protected] au WhatsaApp: 0732482690.