Hata hivyo wakazi hao walimshutumu afisa huyo wa kike na kusema alikuwa mlevi baada yao kumuondoa ndani ya gari hilo ingawaje madai hayo hayangeweza kuthibitishwa.
Wenyeji hao sasa wanataka maafisa hao na kituo cha polisi cha Navakholo kwa jumla kuwafidia katika ukarabati wa kanisa hiyo.
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia [email protected] au WhatsaApp: 0732482690.