Connect with us

General News

Aliyekuwa mpenzi wa Tecra Muigai, Omar kufanyiwa ukaguzi wa kiakili

Published

on

[ad_1]

Aliyekuwa mpenzi wa mrithi wa kampuni ya mvinyo ya Keroche Tecra Muigai anatarajiwa kufanyiwa ukaguzi wa kiakili kabla ya kujibu mashtaka ya mauaji dhidi yake

Omar Lali alipatikana na hatia ya kumuua marehemu Tecra mwezi Mei mwaka huu.

Jaji Roselyn Korir alisema Jumanne, Julai 14 kuwa mshukiwa afanyiwa ukaguzi wa kiakili katika hospitali ya rufaa ya Garissa.

Habari Nyingine: Mhubiri aliyekula mmoja wakondoo wake kanisani apatikana ameuawa

Aliyekuwa mpenzi wa Tecra Muigai kufanyiwa ukaguzi wa kiakili

Omar Lali alipatikana na hatia ya kumuua marehemu Tecra mwezi Mei mwaka huu.
Source: UGC

Habari Nyingine: Mhubiri aliyekula mmoja wakondoo wake kanisani apatikana ameuawa

Lali ambaye kwa sasa amezuiliwa katika kituo cha polisi cha Garsen atafikishwa mahakamani Alhamisi, Julai 16 kujibu mashtaka kama alivyoamru hakimu mkuu wa mahakama ya Lamu Allan Temba.

Kulingana na uchunguzi wa maafisa wa polisi, Lali anasalia kuwa mshukiwa mkuu wa mauaji ya marehemu Tecra.

Aliyekuwa mpenzi wa Tecra Muigai kufanyiwa ukaguzi wa kiakili

Kulingana na uchunguzi wa maafisa wa polisi, Lali anasalia kuwa mshukiwa mkuu wa mauaji ya marehemu Tecra.
Source: UGC

Habari Nyingine: Mwanamke Mkenya afariki dunia baada ya kugonjwa na lori Marekani

Inasemekana wapenzi hao walikuwa wakijivinjari kabla ya Lali kumsukuma Tecra kutoka kwa ngazi ya nyumba waliokuwa wakiishi mjini Lamu.

Tecra aliafariki dunia kutokana na majeraha ya kichwa aliyopata kutokana na ajali.

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia [email protected] au WhatsaApp: 0732482690.

Tazama habari habari zaidi kutoka TUKO.co.ke

Subscribe to watch new videos



[ad_2]

Source link

Comments

comments

Trending