Temba amewaagiza maafisa wa polisi kumwasilisha katika mahakama ya Garsen mjini Lamu ili kujibu mashtaka dhidi yake.
” Nilikubali uamuzi wa DDP ambao umempata mshukiwa na hatia, maafisa wa polisi wametakiwa kumfikisha Omar mahakamani kwa muda wa saa 24 ili ajibu mashtaka ya mauaji dhidi yake,” Temba alisema.
Upasuaji wa maiti ulionyesha kuwa Tecra alifariki dunia kutokana na majeraha mabaya aliyoyapata kwenye kichwa chake. Source: UGC
Awali, Omar aliambia mahakama kuwa marehemu Tecra alianguka kutoka kwa ngazi ya nyumba waliokuwa wakiishi pamoja katika mtaa wa kifahari wa Shella mjini Lamu.
Upasuaji wa maiti ulionyesha kuwa Tecra alifariki dunia kutokana na majeraha mabaya aliyoyapata kwenye kichwa chake.
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia [email protected] au WhatsaApp: 0732482690.