[ad_1] Na SAMMY WAWERU UBORA wa nyama za nguruwe unategemea malezi, namna ya kuwasafirisha kuelekea kichinjioni na wanavyotunzwa kabla ya kuchinjwa. Shirika la Kimataifa Kutetea haki...
[ad_1] Na SAMMY WAWERU JEFF Mundia ambaye ni Meneja wa Nairobi Farmers Market, soko lililoko Kiambu Road, kiungani mwa jiji la Nairobi pia ndiye msimamizi wa...
[ad_1] Na RICHARD MUNGUTI MMILIKI wa kampuni ya biashara ya utalii Tom Oywa Mboya alipatikana na hatia ya kujariibu kumuua mmiliki wa hoteli ya Ronalo almaarufu...
[ad_1] Na GEOFFREY ANENE DEREVA Mkenya Carl “Flash” Tundo amefungua mwanya wa alama 27 juu ya jedwali la Mbio za Magari za Afrika (ARC) baada ya...
[ad_1] Na SAMMY KIMATU NAIROBI WAKAZI katika mtaa wa mabanda wa Kayaba, kaunti ndogo ya Starehe wamekosa maji kwa zaidi ya mwezi mmoja baada ya matapeli...
[ad_1] Na SAMMY WAWERU WAKULIMA Kenya wamehimizwa kukumbatia mfumo wa uongezaji mazao thamani kwa sababu yaliyosindikwa yana mapato mazuri ndani na nje ya nchi. Shirika moja...
[ad_1] Na CHARLES WASONGA UTUMIZI wa mbinu za kisasa za upangaji uzazi ulipungua kwa kiwango kikubwa katika Mwaka wa Kifedha wa 2020/2021 kutokana na mlipuko wa...
[ad_1] Na MARGARET MAINA [email protected] Muda wa kuandaa: Dakika 20 Muda wa mapishi: Dakika 50 Walaji: 5 Vinavyohitajika siagi robo kilo sukari robo kilo unga robo...
[ad_1] Na GEOFFREY ANENE MABINGWA wa soka ya klabu za akina dada ya Afrika Mashariki na Kati (Cecafa) Vihiga Queens wametunukiwa Sh1 milioni na Gavana wa...
[ad_1] Na CHARLES WASONGA WIZARA ya Afya imezitaka Serikali za Kaunti kuanzisha mpango wa utoaji chanjo dhidi ya corona kwa mfumo wa kuhamahama ili kuwafikia wengi....