[ad_1] Na THOMAS MATIKO KWA kawaida huwa tunawaonea gere watoto wa mastaa waliofanikiwa au wanaotoka kwenye familia za kitajiri. Kwa mfano Anerlisa Muigai alipoingia kwenye mahusiano...
[ad_1] Na MASHIRIKA MABINGWA wa Ligi Kuu ya Uingereza (EPL), Manchester City, wametiwa katika Kundi A kwa pamoja na Paris Saint-Germain (PSG), RB Leipzig na Club...
[ad_1] Na SAMMY WAWERU MAMLAKA ya kitaifa kuangazia majanga (NDMA) imeelezea wasiwasi wake kuhusu kaunti kumi za maeneo kame (ASAL) zinazoendelea kukumbwa na janga hatari la...
[ad_1] Na CHARLES ONGADI NI katika kijiji cha Majengo, Kanamai, Kaunti ya Kilifi ambako Tina Anderson, 28, anafanya kilimo cha aina tofauti ya viazi ambavyo ni...
[ad_1] Na SAMMY WAWERU MBALI na kuwa mfugaji wa mbuzi wa maziwa, Esther Muthoni Maina ni hodari katika kufuga kuku. Ni mfugaji wa kuku halisi wa...
[ad_1] Na SAMMY WAWERU KAUNTI ambazo hazijakumbatia sheria ya kudhibiti upakiaji wa viazi mbatata zimehimizwa kuitekeleza. Katibu katika Wizara ya Kilimo, Mifugo na Samaki Prof Hamadi...
[ad_1] MBWEMBWE: Licha ya ukwasi wa Sh4.6b Alba aendelea kuchuma zaidi – Taifa Leo ...
[ad_1] Na RICHARD MUNGUTI MWANASHERIA mkuu Paul Kihara Kariuki atawasilisha rufaa katika mahakama ya Juu kujaribu kufufua mpango wa kurekebisha katiba BBI uliozamishwa Ijumaa na mahakama...
[ad_1] Na RICHARD MUNGUTI MAAFISA sita wa polisi waliokamatwa kwa mauaji ya ndugu wawili katika Kaunti ya Embu watakaa rumande kwa siku 14 uchunguzi unapoendelea. Hakimu...
[ad_1] Na WINNIE ONYANDO SUNGURA kando na kutumika kama chakula miongoni mwa baadhi ya watu, mnyama huyo huwa kivutio hasa miongoni mwa watoto. Andai Ondele, 40,...