[ad_1] BENSON MATHEKA na SIMON CIURI UCHAGUZI mdogo wa kiti cha eneobunge la Kiambaa unaofanyika leo, unaanika wazi ushindani mkali kati ya viongozi wawili wa Jubilee...
[ad_1] Na KALUME KAZUNGU POLISI katika Kaunti ya Lamu wamekana kujua kuhusu mwanamume aliyetoweka wiki mbili zilizopita, huku familia yake ikisisitiza alichukuliwa na maafisa wa polisi....
[ad_1] Na NDUNGI MAINGI TALANTA ni muhimu katika maisha na inaweza kukupeleka mbali ukiigundua na kuikuza ili kujinufaisha, na pia kuwanufaisha wengine. Ni muhimu kujitolea kukuza...
[ad_1] Na MARGARET MAINA [email protected] Muda wa kuandaa: Dakika15 Muda wa mapishi: Saa 1 Walaji: 3 Vinavyohitajika mchele wa kupikia biriyani kilo nusu bizari nyembamba njegere...
[ad_1] Na SAMMY WAWERU KERO ya soko hasa kwa mazao mabichi ya kilimo ni jambo ambalo huhangaisha wakulima wengi nchini. Endapo hawana vifaa vya kuyahifadhi au...
[ad_1] Na PATRICK KILAVUKA CHIPUKIZI wa Pelico Jam, ambayo ni timu ya Shule ya Upili ya Jamhuri, walitoka nyuma na kujibu magoli yake mawili dhidi ya...
[ad_1] Na MASHIRIKA KIPA Gianluigi Donnarumma wa Italia alitawazwa Mchezaji Bora wa kipute cha Euro 2020, mashindano yaliyokamilika rasmi Julai 11, 2021. Mlinda-lango lango huyo mwenye...
[ad_1] Na JOHN KIMWERE PENYE nia pana njia. Ndivyo wahenga walivyologa, tangia zama zile baada ya kupasua hilo mpaka sasa, msemo huo ungali na mashiko siyo...
[ad_1] Na SAMMY WAWERU DICKSON Muceri amekuwa mkazi wa Nairobi kwa muda wa miaka kadhaa ila sasa kitovu hicho cha jiji kuu la nchi hakikaliki tena....
[ad_1] Na SAMMY WAWERU WIKI moja baada ya muungano wa wakulima wadogowadogo nchini (KSSF) kupuliza kipenga kuhusu uhalisia wa mkataba kati ya Kenya na Uingereza kuruhusu...