[ad_1] ‘Umenisaliti’, Raila amwambia Kingi NA VALENTINE OBARA KIONGOZI wa Chama cha ODM, Bw Raila Odinga, amemsuta Gavana wa Kilifi, Bw Amason Kingi, kwa kuungana na...
[ad_1] Hofu PAA itakoroga UDA Pwani katika nyadhifa nyingi NA VALENTINE OBARA UAMUZI wa Chama cha Pamoja African Alliance (PAA) kujiunga na Muungano wa Kenya Kwanza,...
[ad_1] CECIL ODONGO: Ruto hafai kukosoa chochote kuhusu SGR sababu alikuwa serikalini maamuzi yakifanywa NA CECIL ODONGO NI kinaya kwa Naibu Rais, Dkt William Ruto kukosoa...
[ad_1] Kamati ya Wekesa kumpokeza Raila majina matatu Alhamisi achague mmoja NA CHARLES WASONGA MGOMBEA urais wa muungano wa Azimio la Umoja-One Kenya Raila Odinga atapokea...
[ad_1] Shirika lazindua mpango kushirikisha vijana kutoa huduma za kilimo kidijitali NA SAMMY WAWERU SHIRIKA moja lisilo la kiserikali limezindua mpango utakaoshirikisha vijana kutoa huduma za...
[ad_1] Gofu ya Safaricom Tour ya Karen yavutia wachezaji 280 Na GEOFFREY ANENE RAUNDI ya saba ya mashindano ya gofu ya Safaricom Golf Tour yatafanyika katika...
[ad_1] Okutoyi nje tenisi ya Santa Croce Sull’Arno nchini Italia Na GEOFFREY ANENE MKENYA Angella Okutoyi amebanduliwa kwenye mashindano ya tenisi ya J1 Santa Croce Sull’Arno...
[ad_1] Muturi akataa stakabadhi zilizodai Ruto ni mnyakuzi CHARLES WASONGA na SAMUEL OWINO SPIKA wa Bunge la Kitaifa, Justin Muturi ametupilia mbali stakabadhi zilizowasilishwa bungeni na...
[ad_1] TAHARIRI: Uadilifu ndiyo chanjo ya siasa chafu za Kenya NA MHARIRI SIASA katika yaliyoendelea hasa Ulaya huongozwa na sera madhubuti. Siasa za namna hii zimechangia...
[ad_1] Matiang’i ashutumu sheria kwa kuruhusu washukiwa kuwania NA ERIC MATARA WAZIRI wa Usalama Fred Matiang’i ameonya kuhusu uwezekano wa wahalifu kuchaguliwa katika viti mbalimbali kwenye...