[ad_1] Mtangazaji wa redio ya Hot 96 na mwigizaji nyota katika kipindi cha Mother In- Law Andrew Muthure almaarufu Mustafa amepata nafuu baada ya kuugua kwa...
[ad_1] – Mwakilishi wa wanawake kaunti ya Kirinyaga Purity Ngirici amepoteza wadhifa wake kama Mwenyekiti KEWOPA – Hii ni baada ya wanachama wake ambao ni wanawake...
[ad_1] Mwanamuziki na aliyekuwa mpenzi wa staa wa bongo Diamond Platinumz, Tanasha Donna amesherehekea siku ya kuzaliwa kwake hii leo Jumanne, Julai 7 Akiwa amevalia mavazi...
[ad_1] Kiranja wa wachache katika Bunge la Kitaifa Junet Mohamed amepuuzilia mbali mbali madai kuwa, chama cha ODM kinapanga kujiondoa kwenye salamu ya maridhiano kati ya...
[ad_1] – Sajenti Jeol Kilonzo alikuwa amemfikisha kiongozi wa Wiper Kalonzo Musyoka katika makazi yake ya Karen na kuamua kufika katika Klabu ya Karen Country kujiburudisha...
[ad_1] – Nancy Onyancha pamoja na mumewe Joab Mwaura walikuwa miongoni mwa wanahabari 100 waliofutwa kazi na K24 TV – Wiki moja baadaye, Nancy ambaye ni...
[ad_1] Wakazi wa eneo la Ingotse, Navakholo kaunti ya Kakamega wanataka adhabu kali ichukiliwe dhidi ya maafisa wawili wa polisi. Haya ni baada ya gari walimokuwa...
[ad_1] Jamaa aliyekodi nyumba ya kifahari ya mganga eneo la Kiritiri kaunti ya Embu alilazimika kuhama alipovamiwa na siafu baada ya kukataa kuoa bintiye mpiga ramli...
[ad_1] Washukiwa wanne waliuawa Jumatatu, Julai 6 na wakazi wa kijiji cha Muthuthi-ini kaunti ya Kirinyaga baada ya kudaiwa walifumaniwa wakiiba mifugo. Badahi ya wakazi waliiambia...
[ad_1] Kampuni ya mawasiliano ya Safaricom imetangaza kuwa huduma za M-Pesa zitakosekana kwa muda Jumatatu, Julai 6 kati ya saa tano na dakika hamsini na tisa...