Viongozi kadhaa akiwemo mkuu wa chama cha African Nation Congress Jeff Radebe alihudhuria hafla ya mazishi.
Familia ya mwendazake ilifichua kuwa marehemu alfariki dunia kutokana na virusi vya COVID- 19.
Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa na katibu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres walituma risala zao za rambi rambi mapema kabla ya mazishi kufanyika.
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia [email protected] au WhatsaApp: 0732482690.