Linet Munyali, maarufu kama Size 8, amewaacha mashabiki wake wamechangamka baada ya kuwafichulia siri zake kabla ya kuokoka.
Size 8 alisema kuna mambo alikuwa akiyafanya kabla ya kuona uzima wa Bwana ambayo kwa sasa hawezi.
Habari Nyingine: Moses Kuria na Sudi kukutana na kamati ya nidhamu ya Jubilee
Msanii Size 8 kwenye picha ya awali. Size 8 aliokoka na anasema maisha yake yalibadilika pakubwa.
Source: UGC
Kwenye mahojiano na redio Maisha, Size 8 alisema enzi zake katika maisha ya kidunia alikuwa akifurahia kupata upepo mwembamba.
“Ni kweli, nilikuwa nuikitembea sikuz hizop bila chupi,” alisema msanii huyo.
Habari Nyingine: Afisa wa polisi anaswa ‘live’ akifanya mapenzi na mgonjwa wa Covid-19
Size 8 aliwacha usanii wa nyimbo za raha na kuingia nyumba ya Bwana. Picha: Size 8
Source: UGC
Aidha wakati uo huo alipuuza madai kuwa ndoa yake na DJ MO imeingia doa kwa sasa akisema wanafurahia penzi lao.
“Maisha ya ndoa yangu ni matamu. Tunayafurahia sana,” alisema lakini akaongeza kuwa ako katika kipindi cha kiu cha penzi la nyuma ya pazia.
Habari Nyingine: Sudi amfokea Rais Uhuru, adai amewatimua katika Chama cha Jubilee
Kwenye mahojiano na redio Maisha, alisema maisha yake yamebadilika sana.
Source: UGC
Katika maisha yake ya kupiga mtindi, kipusa huyo alisema hakuna wakati alizidiwa kiwango cha kumpigia simu mmoja wa waliokuwa wapenzi wake.
“Sijawahi kulewa kiwango cha kumpigia mmoja wa waliokuwa wapenzi wangu. Kiburi changu hakingeniruhusu kufanya hivyo,” alisema.
READ ENGLISH VERSION
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia [email protected] au WhatsaApp: 0732482690.
Subscribe to watch new videos