Connect with us

General News

Mboko atumai uaminifu kwa ODM utampa kiti – Taifa Leo

Published

on

[ad_1]

Mboko atumai uaminifu kwa ODM utampa kiti – Taifa Leo

Mboko atumai uaminifu kwa ODM utampa kiti

NA WINNIE ATIENO

MBUNGE wa Likoni, Bi Mishi Mboko, ameeleza matumaini ya kupata tikiti ya ODM kuwania tena ubunge kwa msingi wa uaminifu wake kwa chama hicho.

Kulingana naye, uaminifu kwa kinara wa ODM Raila Odinga, na Gavana wa Mombasa, Bw Hassan Joho ulichangia pakubwa kwake kuinuka kisiasa.

“Mahasimu wangu wanaogombea kiti cha ubunge tupatane kiwanjani Likoni ambako tutakanyagana. Sisi tumekaa kwenye ulingo wa siasa kwa muda sana na hatubabaishwi,” alisema Bi Mboko.

[ad_2]

Source link

Comments

comments

Trending