Connect with us

General News

Profesa Maurice Mang’oli aliyefariki dunia kutokana na COVID-19 azikwa

Published

on

[ad_1]

Mhadhiri wa chuo kikuu cha Nairobi Profesa Maurice Mang’oli amezikwa nyumbani kwake kaunti ya Bungoma

Marehemu alifariki dunia kutokana na virusi vya COVID 19 katika hospitali ya Nairobi Jumanne, Julai 14.

Mang’oli amekuwa akifunza somo la uhandisi katika chuo kikuu cha Nairobi kwa miaka 35 kabla ya kifo chake.

Profesa Maurice Mang'oli aliyefariki dunia kutokana na COVID-19 azikwa Bungoma

Profesa Maurice Mang’oli aliyefariki dunia kutokana na COVID-19 azikwa Bungoma
Source: Facebook

Viongozi kadhaa akiwemo seneta wa Bungoma walituma risala zao za rambi rambi kwa familia na marafiki wa mwendazake.

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia [email protected] au WhatsaApp: 0732482690.

Tazama habari zaidi kutoka TUKO.co.ke

Subscribe to watch new videos



[ad_2]

Source link

Comments

comments

Facebook

Trending