Polisi waliotembelea eneo la tukio walikitaja kisa hicho kama ajali lakini kuelezea kuwa uchunguzi umeanzishwa kuhusiana na tukio hilo.
Katika taarifa tofauti na hiyo, mwanamume mmoja alisifiwa sana mitandaoni kwa ujasiri wake wa kuokoa maisha ya mtoto mchanga nchini Marekani.
Phillip Blanks mwenye miaka 28, alisifiwa baada ya kukimbia na kumdaka mtoto aliyerushwa kutoka jumba lenye orofa tatu ambalo lilikuwa linateketea mnamo Ijumaa, Julai 3.
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia [email protected] au WhatsaApp: 0732482690.