Washukiwa wanne waliuawa Jumatatu, Julai 6 na wakazi wa kijiji cha Muthuthi-ini kaunti ya Kirinyaga baada ya kudaiwa walifumaniwa wakiiba mifugo.
Badahi ya wakazi waliiambia Citizen Digital kwamba, washukiwa hao ni sugu na ndiposa wenyeji wakaamua kuwawekea mtego wa kuawanasa pindi watakapotokea kuiba mbuzi wao.