Connect with us

General News

Walimu roho mkononi TSC ikiwahamisha – Taifa Leo

Published

on

[ad_1]

Walimu roho mkononi TSC ikiwahamisha – Taifa Leo

Walimu roho mkononi TSC ikiwahamisha

NA FAITH NYAMAI

WALIMU kote nchini wameingiwa na tumbojoto kuhusu uhamisho ambao Tume ya Huduma ya Walimu (TSC) inatekeleza kabla ya muhula ujao.

Afisa Mkuu Mtendaji wa TSC, Nancy Macharia ameeleza kuwa shughuli hiyo itawasawazisha walimu kulingana na idadi ya wanafunzi katika shule kabla ya mwaka mpya wa masomo kuanza.