Washukiwa wa kikundi cha kigaidi cha al-Shabaab wameshambulia kituo cha polisi cha Karokora kaunti ya Garissa ila hakuna afisa hata mmoja wa polisi aliyejeruhiwa
Wanamgambo hao zaidi ya 20 wakiwa wamejihami kwa silaha hatari wanasemekana kuharibu mitandao ya mawaliano kabla ya kushambulia kituo hicho.