Akithibitisha ajali hiyo, afisa mkuu anayeshughulikia masuala ya dharura kaunti ya Machakos David Mwongole alisema lori ilipoteza mwelekeo na kugongana na matatu.
Matatu nyingine ambayo ilikuwa ikiendeshwa kwa kasi iligongana na magari hayo mawili na kusababisha majeraha mengi kwa abiria.
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia [email protected] au WhatsaApp: 0732482690.