[ad_1]
2 wengine wanaswa na polisi kuhusiana na mauaji kilabuni
NA MAUREEN ONGALA
POLISI katika Kaunti ya Kilifi, wamewakamata washukiwa wengine wawili, kuhusiana na mauaji ya mwanamume katika kilabu cha Lexo Lounge wikendi iliyopita.
Wawili hao ni wafanyakazi wa kilabu hicho ambapo Feisal Bushuti Mkongo alifariki.
Ilidaiwa kulikuwa na mvutano baina yake na walinzi wa kilabu kabla afariki.
Mkuu wa polisi wa Kilifi Kaskazini, Bw Jonathan Koech, alithibitisha tukio hilo limewasilishwa kwa Mkurugenzi wa Mashtaka ya Umma ili kutoa mwelekeo.
Next article
Magavana saba wajishusha bei
[ad_2]
Source link