Connect with us

General News

Mbunge waBumula Moses Mabonga ahusika kwenye ajali mbaya ya barabarani

Published

on

[ad_1]

Mbunge wa Bumula Moses Mabonga ameponea kifo baada ya kuhusika kwenye ajali mbaya ya barabarani hii leo Jumanne, Juni 20

Mbunge huyo anasemekana alikuwa akisafiri kuelekea Nairobi ambapo gari laki lilihusika kwenye ajali karibu na eneo la Timboroa.

Mabonga alipata majeraha kadhaa ila haabari kuhusu ajali hiyo bado haitatolewa.

Habari Nyingine: Kiranja wa zamani wa Harambee Stars Musa Otieno apatwa na COVID-19

Mbunge ahusika kwenye ajali mbaya ya barabarani

Mbunge ahusika kwenye ajali mbaya ya barabarani
Source: UGC

Habari Nyingine: Virusi vya Corona vyaingia Bungeni, Wabunge 6 waambukizwa, mmoja awekwa ICU

Haya yanajiri takribani mwezi mmoja tu baada ya wakazi wa eneo bunge la Bumula kulalamikia barabara mbovu na kutaka serikali kuu iingilie kati.

Habari zaidi kufuata….

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia [email protected] au WhatsaApp: 0732482690.

Tazama habari zaidi kutoka TUKO.co.ke.

Subscribe to watch new videos



[ad_2]

Source link

Comments

comments

Facebook

Trending