Hata hivyo mambo yalibadilika jamaa alipofika nyumbani na kumwmarifu mkewe kwamba amemletea msichana wa kumsaidia kazi za nyumbani.ikika akisema kulingana na Taifa Leo.
Hata hivyo mambo yalibadilika jamaa alipofika nyumbani na kuwmrifu mkewe kwamba amemletea msichana wa kumsaidia kazi za nyumbani.
Lofa hakuamini mkewe alipomfuria akisema jukumu la kusaka msichana wa kazi halikuwa lake hata kidogo.
“Umesikia nikiteta kazidiwa na kazi? Kwa sasa simtaki msichana wa kunishika mkono. Ninawezana na majukumu yangu,” mama aliteta na ikabidi buda ampe kipusa nauli ya kurejea alikokuwa akiishi.
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia [email protected] au WhatsaApp: 0732482690.