Connect with us

General News

Askofu wa Kanisa la Anglikana dayosisi ya Malindi awataka viongozi wa dini wajitenge na siasa za migawanyiko – Taifa Leo

Published

on

[ad_1]

Askofu wa Kanisa la Anglikana dayosisi ya Malindi awataka viongozi wa dini wajitenge na siasa za migawanyiko – Taifa Leo

Askofu wa Kanisa la Anglikana dayosisi ya Malindi awataka viongozi wa dini wajitenge na siasa za migawanyiko

NA MAUREEN ONGALA

ASKOFU mkuu wa Kanisa la Angilikana Dayosisi ya Malindi, Ruben Katite amewashauri viongozi wa dini ya Kikristo wajitenge na siasa zinazoweza kuchagia migawanyiko katika jamii.

Aidha, alisema waumini hawafai kubaguliwa na kanisa kwa sababu tu ya miegemeo yao ya kisiasa kama watu binafsi wenye uhuru wa kujichagulia viongozi wanaowataka.

Pia amewataka vijana kutotumika vibaya na wanasiasa wakati huu wa siasa motomoto.

[ad_2]

Source link

Comments

comments

Facebook

Trending