[ad_1]
Bunge la kaunti latoa msaada kwa shule ya umma
NA STANLEY NGOTHO
BUNGE la Kaunti ya Kajiado limefanikiwa kukusanya raslimali za kufadhili shule ya umma iliyokuwa haina vifaa muhimu vya shule.
Timu iliyojumuisha Spika Johnson Osoi na Bodi ya Bunge la Kaunti hiyo inayosimamia Utowaji Huduma, ilitoa ufadhili wa madawati 50 hatua iliyolenga kuashiria kuwa wafanyakazi wa Bunge la Kaunti, wanazidi kuhudumia jamii.
Shule ya Msingi ya Nkama iliyopo Wadi ya Illodokilani maeneo ya ndani ya Kajiado Magharibi ina walimu wawili pekee waliotumwa na Tume ya Kuajiri Walimu.
[ad_2]
Source link