Connect with us

General News

Mwanafunzi bora Pwani akamia uanafamasia – Taifa Leo

Published

on

[ad_1]

Mwanafunzi bora Pwani akamia uanafamasia – Taifa Leo

Mwanafunzi bora Pwani akamia uanafamasia

NA WINNIE ATIENO

SHULE ya upili ya Sheikh Khalifa Bin Zayed Al-Nahyan iliendelea kufanya vyema kwenye mtihani wa KCSE, baada ya kuwa na mwanafunzi bora eneo la Pwani.

Elyas Iqra Ahmed 19 alipata A ya alama 83.

“Nimefurahi sana kusikia kuwa nimeongoza kwenye matokeo ya KCSE eneo la Pwani. Lakini halikunishtua sababu nimekuwa nikimcha Mungu, na kutia bidii masomoni,” alisema.

[ad_2]

Source link

Comments

comments

Facebook

Trending