[ad_1] Uhuru akuza wanasiasa kizazi kipya Mlimani NA ONYANGO K’ONYANGO RAIS Uhuru Kenyatta anapanga kukuza kizazi kipya cha viongozi katika ngome yake ya Mlima Kenya huku...
[ad_1] Wandani wakuu wa Joho wang’ang’ania useneta NA BRIAN OCHARO WANDANI wakuu wa Gavana wa Mombasa Hassan Joho watapambana katika kinyang’anyiro cha useneta ambacho kimevutia zaidi...
[ad_1] TAHARIRI: Adhabu kwa Gor Mahia iwe funzo kwa timu zinazozua ghasia viwanjani NA MHARIRI BAADA ya ghasia kuzuka katika uwanja wa MISC Kasarani wakati timu...
[ad_1] VITUKO: Kidosho adai Sanchez ana wivu na Fabinho IMEKUSANYWA NA CHRIS ADUNGO REBECA Tavares ambaye ni mke wa kiungo Fabinho Henrique wa Liverpool, amemchemkia fowadi...
[ad_1] Waandalizi wa Ballon d’Or wabadilisha kanuni, vigezo vya kutafutwa kwa mshindi wa tuzo hiyo Na MASHIRIKA MSHINDI wa taji la Ballon d’Or ambalo hutolewa kwa...
[ad_1] Kiungo Nafula atoka Vihiga Queens kuyoyomea Urusi kujiunga na Kayserispor Na GEOFFREY ANENE MKENYA Christine Nafula amejiunga na klabu ya Kayserispor nchini Uturuki, Ijumaa. Kiungo...
[ad_1] Wito serikali iondoe ada za juu katika viwanja bora wanamichezo wapate fursa ya kufanya mazoezi NA SAMMY WAWERU BINGWA wa mbio za mita 100 nchini,...
[ad_1] Hali ni tete kuhusu mkataba mpya wa Salah kambini mwa Liverpool Na MASHIRIKA KOCHA Jurgen Klopp wa Liverpool amesema mustakabali wa nyota Mohamed Salah ugani...
[ad_1] Nyong’o: Serikali ya Raila itaongezea kaunti mgao wa bajeti NA SAMMY WAWERU KIONGOZI wa ODM, Raila Odinga ameendeleza kampeni kusaka kura akilenga kumrithi Rais Uhuru...
[ad_1] TUSIJE TUKASAHAU: Dkt Alfred Mutua asije akasahau aliahidi kuzikabarati sanamu MNAMO Juni 26, 2019 Gavana wa Machakos Alfred Mutua aliahidi kukarabati na kutunza sanamu za...