[ad_1] Ruto apaka Uhuru tope Amerika NA LEONARD ONYANGO NAIBU Rais William Ruto ametumia ziara yake Amerika kumshambulia vikali Rais Uhuru Kenyatta na kuyataka mataifa ya...
[ad_1] Karata ya kuteua manaibu gavana sasa yafichuka NA MWANDISHI WETU SIASA za urithi wa Gavana wa Mombasa, Bw Hassan Joho, zimechukua mkondo mpya baada ya...
[ad_1] Matajiri nchini wahofia kuachia kizazi kipya mali yao NA MARY WANGARI URITHI wa mali umetajwa miongoni mwa hofu kuu ya matajiri nchini Kenya, ripoti mpya...
[ad_1] Dadake Raila ajiondoa kwa mbio za ugavana NA RUSHDIE OUDIA DADAKE kiongozi wa ODM Raila Odinga Ruth Odinga amejitosa kwenye kinyang’anyiro cha kiti cha Mwakilishi...
[ad_1] Raia 1,000 wa Ukraine wakwama Zanzibar NA MASHIRIKA ZANZIBAR, TANZANIA WATALII zaidi ya 1,000 raia wa Ukraine, wamekwama hotelini Kisiwani Zanzibar huku mapigano yakichacha katika...
[ad_1] Matibabu kukwama madaktari wakianza mgomo NA LUCY MKANYIKA HUDUMA za afya katika Kaunti ya Taita Taveta, zinatarajiwa kutatizika baada ya wahudumu kuanza mgomo baridi. Wahudumu...
[ad_1] Yaya aliyenajisi mtoto asukumwa jela maisha NA BRIAN OCHARO MWANAMKE mmoja amehukumiwa kifungo cha maisha kwa kosa la kunajisi mtoto na kuuza video za unyama...
[ad_1] Bodaboda wagomea ada ya maegesho NA DAVID MUCHUI SERIKALI ya Kaunti ya Meru hupoteza mamilioni ya fedha kama mapato kufuatia hatua ya maelfu ya wahudumu...
[ad_1] Umma kupewa fursa kuuliza wawaniaji urais maswali NA CHARLES WASONGA WAKENYA watapata fursa ya kuwauliza maswali moja kwa moja wagombea wote wa urais wakati wa...
[ad_1] Wakenya wana imani na mfumo wa CBC – Ripoti NA JURGEN NAMBEKA IDADI kubwa ya Wakenya wanapendelea mtaala mpya wa elimu ya umilisi na utendaji...