[ad_1] TAHARIRI: Serikali ifanye juhudi kuzima mauaji ya watu Na MHARIRI RIPOTI zinazotoka Lamu zinaonyesha kuwa hata kama serikali imeongeza maafisa wa usalama, bado maisha ya...
[ad_1] Uhuru kuwa kocha mkuu wa ‘Team Raila’ ONYANGO K’ONYANGO na JUSTUS OCHIENG RAIS Uhuru Kenyatta jana Alhamisi alianza rasmi juhudi za kumsaidia kinara wa ODM...
[ad_1] Uchungu wa mama Na SINDA MATIKO ZILE tetesi kwamba Diamond Platnumz anatoka na Zuchu zimeonekana kumchefua mamake mrembo huyo, mkongwe wa Taarab Khadija Kopa. Kwa...
[ad_1] Kipchoge apigwa jeki na INEOS kutimka kwenye marathon Olimpiki 2024 Na GEOFFREY ANENE NI rasmi mshikilizi wa rekodi ya dunia mbio za kilomita 42 Eliud...
[ad_1] Siri ya kufanikisha ufugaji wa kuku hii hapa Na SAMMY WAWERU MITA chache kutoka mtaa wa Mumbi, Ruiru, Kaunti ya Kiambu ndiko Mzee Henry Njoroge...
[ad_1] Mhadhiri motoni kwa kushiriki ngono na mwanafunzi Na AFP RABAT, MOROCCO MAHAKAMA moja nchini Morocco, Jumatano ilimhukumu mhadhiri wa chuo kikuu miaka miwili gerezani, kwa...
[ad_1] AFCON: Cameroon watandika Ethiopia na kufuzu kwa hatua ya 16-bora Na MASHIRIKA WENYEJI Cameroon walikuwa wa kwanza kufuzu kwa hatua ya 16-bora ya Kombe la...
[ad_1] RIWAYA: Maudhui ya sura ya nane na mtiririko wa vitushi sura ya 9 JUMA lililopita tuliangazia familia mpya ya Mwangeka na alivyoendeleza maudhui ya mapenzi...
[ad_1] AFC Leopards kusajili wanne mwezi huu NA JOHN ASHIHUNDU AFC Leopards wamepanga kutumia muhula huu wa usajili kupata wachezaji wanne kuongezea kikosi hicho nguvu. Akizungmza...
[ad_1] Daktari ashtakiwa kwa kuuza barakoa feki Na RICHARD MUNGUTI DAKTARI na wafanyabiashara wawili pamoja na kampuni zao wameshtakiwa kwa kuiuzia Hospitali ya Aga Khan barakoa...