[ad_1] Mbogo ajisifia kazi yake Kisauni asema yeye tosha ugavana Na WINNIE ATIENO MBUNGE wa Kisauni, Bw Ali Mbogo, amewataka wapigakura wazingatie uongozi wake katika eneobunge...
[ad_1] Msifute watu sababu teknolojia, Chelugui asihi Na MACHARIA MWANGI WAZIRI wa Leba Simon Chelugui ameziomba kampuni mbalimbali zihakikishe kuwa haziwafuti wafanyakazi wao hata zinapokumbatia matumizi...
[ad_1] Raila asuka njama ya kumzima Ruto Pwani Na MAUREEN ONGALA, WINNIE ATIENO na WACHIRA MWANGI CHAMA cha ODM kimeandaa mikakati maalumu ambayo viongozi wake wanaamini...
[ad_1] WANDERI KAMAU: Jamii zirejelee misingi ya malezi bora kuzuia mivutano Na WANDERI KAMAU KIAFRIKA, wazazi huwa na baraka kubwa kwa wanao na tangu utotoni mwetu,...
[ad_1] TAHARIRI: Hawakustahili kufa namna ile katika ajali ya basi mtoni Kitui KITENGO cha UHARIRI Ajali ya basi katika Mto Eziu, eneo la Mwingi, Kitui mnamo...
[ad_1] WANTO WARUI: Wasimamizi wa shule za sekondari wapewe mafunzo ya uongozi bora Na WANTO WARUI MATATIZO mengi yanayoathiri shule zetu za sekondari nchini huenda yanasababishwa...
[ad_1] Arsenal kwenye mizani Na MASHIRIKA FATAKI zitalipuka na nyasi kuumia leo ugani Goodison Park wakati Everton watashuka dimbani kuvaana na Arsenal katika pambano kali la...
[ad_1] JAMVI: Mlima utatoa nani mgombea mwenza wa Raila 2022? Na WANDERI KAMAU KIONGOZI wa ODM, Bw Raila Odinga, anakabiliwa na kibarua kumchagua mgombea-mwenza wake kutoka...
[ad_1] Muturi aahidi kutumia wahitimu wasio na ajira katika vita dhidi ya ufisadi Na CHARLES WASONGA SPIKA wa Bunge la Kitaifa Justin Muturi ameahidi kwamba akichaguliwa...
[ad_1] FATAKI: Ni upumbavu kuamini thamani ya mwanamke hushuka akizaa Na PAULINE ONGAJI KUNA hii dhana potovu kwamba mwanamke akizaa au umri wake kuongezeka, basi thamani...