[ad_1] Raila motoni kwa kumgonga Kingi NA WINNIE ATIENO VIONGOZI wa mrengo wa Kenya Kwanza eneo la Pwani wamemshtumu mwaniaji wa urais wa muungano wa Azimio...
[ad_1] TAHARIRI: Wanafunzi wenye uhitaji wa kweli wa karo wasaidiwe NA MHARIRI UKARIMU wa Wakenya mara nyingi huonekana wakati wanafunzi wenye uhitaji wa karo ya shule...
[ad_1] Kikundi cha wanajuakali Kiambu chafurahia pendekezo la Raila NA LAWRENCE ONGARO KIKUNDI cha wanajuakali kutoka kaunti ya Kiambu, kimepongeza hatua ya kinara wa ODM Raila...
[ad_1] Bei ya mafuta yapanda tena NA CHARLES WASONGA GHARAMA ya maisha inatarajiwa kuendelea kupanda baada ya bei ya mafuta kupanda kwa kiwango cha Sh5.50 kwa...
[ad_1] Malalamiko ya wabunge baada ya SRC kupunguza mapato yao NA CHARLES WASONGA WABUNGE wamelalamikia hatua ya Tume ya Kukadiria Mishahara na Marupurupu ya Watumishi wa...
[ad_1] Kocha McCrath kutegemea ujuzi wake kuvumisha Kenya Sevens AYUMBA AYODI na JOHN ASHIHUNDU KOCHA mpya wa timu ya taifa ya raga ya wachezaji saba kila...
[ad_1] TUSIJE TUKASAHAU: Ruto atueleze jinsi atakavyozima ufisadi Sh100 bilioni zikiwa kwa kapu la mikopo nafuu NAIBU Rais William Ruto ameahidi kutenga Sh100 bilioni katika hazina...
[ad_1] Ruto anamtaja naibu leo naye Raila ni kesho NA MOSES NYAMORI MWANIAJI urais wa Muungano wa Kenya Kwanza, Dkt William Ruto, anatarajiwa kuteua mgombea mwenza...
[ad_1] Washukiwa 9 wa wizi wa mabavu watoroka seli za polisi Thika NA LAWRENCE ONGARO WASHUKIWA tisa wa wizi wa mabavu waliozuiliwa kwenye seli za kituo...
[ad_1] ICC yamruhusu wakili Gicheru kutumia ushahidi NA JOSEPH WANGUI MAHAKAMA ya Kimataifa kuhusu Uhalifu (ICC) imemruhusu wakili Mkenya Paul Gicheru kutumia kijisehemu cha ushahidi wa...