[ad_1] Farasi ni watatu 2022 – Wetang’ula asisitiza JUMA NAMLOLA na BRIAN OJAMAA KINARA wa Ford Kenya Moses Wetang’ula sasa anadai kuwa kinyang’anyiro cha kuelekea uchaguzi...
[ad_1] TAHARIRI: Serikali ilijikwaa kwa kutangaza likizo fupi KITENGO CHA UHARIRI JANGA la corona lilipoikumba nchi mwaka 2020, shule zilifungwa kwa miezi sita. Zilipofunguliwa upya, serikali...
[ad_1] Maskini jeuri wakataa chakula kwa sababu ya siasa Na MAUREEN ONGALA WAKAZI wa eneobunge la Ganze, Kaunti ya Kilifi, walisusia chakula cha msaada walichopelekewa na...
[ad_1] Kibiwott Kandie na Peres Jepchirchir waendea mataji ya New York Marathon Na GEOFFREY ANENE MSHIKILIZI wa rekodi ya dunia mbio za wanaume za kilomita 21,...
[ad_1] CHEPKWONY: Wanafunzi wapewe fursa ya kujieleza, washauriwe Na KIPKOECH CHEPKWONY VISA vya wanafunzi kugoma na kuteketeza mabweni vinazua taharuki kubwa kote nchini. Visa hivi vimesababisha...
[ad_1] Kinaya kandarasi za EACC zikitiliwa shaka Na LEONARD ONYANGO TUME ya Maadili na Kupambana na Ufisadi (EACC) ni miongoni mwa taasisi za serikali zilizo na...
[ad_1] KINA CHA FIKIRA: Elimu bila nasaha kwa wanafunzi ni bomu angamizi Na WALLAH BIN WALLAH BAADA ya udadisi wangu kutokana na tajriba ya miaka mingi...
[ad_1] CRA yashauri kaunti kutengewa Sh370b mwaka 2022 Na LEONARD ONYANGO MAGAVANA wamepata pigo baada ya Tume ya Ugavi wa Mapato (CRA) kukataa wito wao wa...
[ad_1] VYAMA VYA KISWAHILI: Chama cha Kiswahili katika shule ya Msingi ya Mutweamboo, Makueni Na CHRIS ADUNGO CHAMA cha Kiswahili katika Shule ya Msingi ya Mutweamboo (CHAKIMU)...
[ad_1] GWIJI WA WIKI: Silvester Makau Na CHRIS ADUNGO KUNA idadi kubwa ya watu wanaojivunia mafao ya Kiswahili ulimwenguni. Siri ya mafanikio yao imekuwa kufuata misukumo...