[ad_1] Liverpool wakomoa Newcastle na kuweka hai matumaini ya kumaliza msimu na mataji manne Na MASHIRIKA LIVERPOOL waliweka hai matumaini ya kujizolea jumla ya mataji manne...
[ad_1] Wakala wa soka, Mino Raiola, aaga dunia akiwa na umri wa miaka 54 Na MASHIRIKA MINO Raiola, ajenti aliyewakalisha baadhi ya wanasoka wa haiba kubwa...
[ad_1] Salah na Kerr waibuka wachezaji bora wa tuzo za Shirika la Waandishi wa Soka (FWA) Na MASHIRIKA FOWADI Mohamed Salah wa Liverpool mwanasoka bora wa...
[ad_1] Ashtakiwa kwa kumtwanga aliyekuwa mke wake siku za nyuma NA RICHARD MUNGUTI MUME aliyemchapa mke waliyetengana ameshtakiwa mahakamani. Jaylan Mwaniki alishtakiwa mbele ya hakimu mwandamizi...
[ad_1] Hatimaye Kibaki azikwa karibu na kaburi la Mama Lucy NA SAMMY WAWERU RAIS wa tatu wa Jamhuri ya Kenya, Stanley Emilio Mwai Kibaki alizikwa Jumamosi...
[ad_1] Ruto atumia jukwaa la mazishi ya Kibaki kunadi mfumo wa ‘bottom-up’ NA SAMMY WAWERU NAIBU Rais Dkt William Ruto alitumia jukwaa la mazishi ya Rais...
[ad_1] Malumbano makali ya ugavana Kitui kati ya Malombe na Kiema NA RICHARD MUNGUTI MALUMBANO ya Ugavana wa Kitui yamekumba chama cha Wiper ambapo mzozo unatokota...
[ad_1] Mpishi aliyekula akashindwa kulipa bili ‘April Fools’ Day’ ashtakiwa NA RICHARD MUNGUTI MPISHI aliyekula na kunywa Siku ya Wapumbavu Duniani (Aprili 1, 2022) katika hoteli...
[ad_1] Askofu Muheria ahimiza wanasiasa waige mfano wa Kibaki NA SAMMY WAWERU ASKOFU wa Kanisa la Katoliki jimbo la Nyeri, Anthony Muheria amewataka wanasiasa waige mfano...
[ad_1] TAHARIRI: Mwelekeo wa soka utolewe kamati shikilizi ikiondoka Mei 11 NA MHARIRI MASWALI chungu nzima yanaendelea kuibuliwa kuhusu hatima ya soka ya Kenya huku Kamati...