[ad_1] DOUGLAS MUTUA: Mchokozi Putin aadhibiwe kwa Urusi kufukuzwa UN NA DOUGLAS MUTUA NINAZIDI kuamini kwamba, Umoja wa Mataifa (UN) unapasa kuvunjiliwa mbali na shirika jingine...
[ad_1] Msisimko Mlima Kenya Spika Muturi akizungumza lugha ya mahasla NA MWANGI MUIRURI [email protected] HATUA ya Spika wa bunge la kitaifa Justin Bedan Muturi ya kujiunga...
[ad_1] Mvurya ampigia naibu wake debe NA WINNIE ATIENO GAVANA wa Kwale Salim Mvurya amewasihi wakazi kumpigia kura naibu wake Bi Fatuma Achani akisema atamaliza miradi...
[ad_1] Vyuo vikuu vya umma kuzidi kuumia kifedha NA FAITH NYAMAI VYUO vikuu vya umma nchini vitaendelea kukumbwa na matatizo ya kifedha baada ya mapendekezo kwenye...
[ad_1] Wakazi wa Murang’a wapata afueni mafuta yakijazwa vituoni NA MWANGI MUIRURI [email protected] HATIMAYE wahudumu katika sekta ya uchukuzi Kaunti ya Murang’a wameanza kupata afueni baada...
[ad_1] NCIC yapiga marufuku baadhi ya maneno na msamiati katika muktadha wa siasa NA WINNIE ONYANDO TUME ya Uwiano na Utangamano wa Kitaifa (NCIC) Ijumaa ilitoa...
[ad_1] TUSIJE TUKASAHAU: Tungali tuna kibarua kutokomeza ukeketaji MNAMO Jumatano wiki hii watu saba walikamatwa katika kaunti ya Nyeri baada ya kuhusishwa na ukeketaji wa wasichana...
[ad_1] Mudavadi kuwa tu waziri katika serikali ya Ruto NA ONYANGO K’ONYANGO KIONGOZI wa Amani National Congress (ANC), Bw Musalia Mudavadi, amepoteza nafasi ya kuwa mwaniaji...
[ad_1] PSG kumpa Mbappe ofa mpya ya Sh23.4 bilioni ili asihamie Real Madrid msimu huu Na MASHIRIKA PARIS Saint-Germain (PSG) wamefichua mpango wa kumpokeza mshambuliaji Kylian...
[ad_1] Gavana Nyoro awarai wakulima wa Kiambu watie bidii kufukuza njaa NA LAWRENCE ONGARO WAKULIMA wapatao 2,000 kutoka eneo la Ngoliba, Thika Mashariki, wamepokea mbegu za...