[ad_1] Fowadi Jermain Defoe astaafu soka akiwa na umri wa miaka 39 Na MASHIRIKA NYOTA wa zamani wa West Ham United, Tottenham Hotspur na Rangers, Jermain...
[ad_1] Mkasa: Familia ya Okwach bado ina matumaini ya kumpata mpendwa wao NA KASSIM ADINASI FAMILIA ya Bw Tom Okwach, aliyezikwa kwenye timbo la dhahabu la...
[ad_1] Matiang’i aamuru wahudumu wa bodaboda wajiunge na vyama vya ushirika NA WINNIE ONYANDO WAHUDUMU wote wa bodaboda watahitajika kujisajili kupitia mfumo wa kidijitali ili kupata...
[ad_1] Jela maisha kwa kusaidia Al-Shabaab NA RICHARD MUNGUTI ALIYEKUWA dereva wa Kaunti ya Mandera jana Jumatano alihukumiwa kifungo cha maisha gerezani kwa kitendo cha kushiriki...
[ad_1] Chuo Kikuu cha Egerton sasa kuendesha mitihani ya uanasheria NA KENYA NEWS AGENCY BAZALA la Mafunzo ya Uanasheria (CLE) limejumuisha Chuo Kikuu cha Egerton katika...
[ad_1] Aliyetolewa Mto Yala aliuawa kwa kugongwa kichwani – Ripoti NA STEPHEN MUNYIRI MWANAMUME wa Kaunti ya Nyeri ambaye mwili wake ni miongoni mwa ile iliyoopolewa...
[ad_1] KINYUA BIN KING’ORI: Wapiga kura watumie busara kuchagua viongozi wastaarabu NA KINYUA BIN KING’ORI USTAWI wa nchi yoyote ile hutegemea ukomavu wa viongozi waliochaguliwa kushikilia...
[ad_1] NDIVYO SIVYO: Mtu ‘hakubali na jambo’ hulikubali jambo fulani NA ENOCK NYARIKI KATIKA makala yaliyotangulia, tulieleza kwamba mojawapo ya sababu ambazo yamkini huwafanya watu kutumia...
[ad_1] Amerika yaionya Urusi dhidi ya kutumia silaha za kemikali nchini Ukraine NA AFP WASHINGTON, Amerika RAIS wa Amerika Joe Biden amesema kuna dalili kwamba Urusi...
[ad_1] N’Golo Kante ajiondoa katika timu ya taifa ya Ufaransa itakayovaana na Ivory Coast na Afrika Kusini NA MASHIRIKA KIUNGO matata wa Chelsea, N’Golo Kante, amejiondoa...