[ad_1] Ida aahidi kuinua maisha ya wanawake vijijini Raila akiwa rais NA STANLEY NGOTHO MKEWE kinara wa ODM Raila Odinga, Ida, ameahidi kuboresha elimu na kuinua...
[ad_1] Khaniri awarai Waluhya wamuunge mkono Raila NA DERICK LUVEGA SENETA wa Vihiga George Khaniri ameiomba jamii ya Waluhya imuunge mkono kwa mara nyingine Kinara wa...
[ad_1] Arsenal kuzidisha mshahara wa Saka mara nne Na MASHIRIKA ARSENAL wamefichua mpango wa kuzidisha mshahara wa kiungo mvamizi Bukayo Saka mara nne ili uwiane na...
[ad_1] Serikali mbioni kuangamiza mbung’o waharibifu Kwale NA SIAGO CECE SERIKALI imeanzisha mpango maalumu wa kuangamiza mbung’o waliovamia Kaunti ya Kwale. Mkurugenzi Mkuu wa baraza la...
[ad_1] MAKALA MAALUM: Hofu chemchemi za majimoto Kaunti ya Kwale zikianza kupoa NA SIAGO CECE CHEMCHEMI za Mwananyamala zilizoko Dzombo, Kaunti ya Kwale, kwa miaka mingi...
[ad_1] Karamu ya mbuzi yaokoa mshukiwa wa mauaji NA BRIAN OCHARO MWANAMUME aliyeshtakiwa kwa mauaji ameponea chupuchupu baada ya kujitetea kuwa damu iliyopatikana kwa nguo zake...
[ad_1] Bodaboda walia polisi jijini bado wanawadhulumu NA JOSEPH NDUNDA MSAKO unaoendelea kuwaondoa wahudumu wa bodaboda katikati ya jiji la Nairobi unasemekana kugeuzwa kuwa kitega uchumi...
[ad_1] WANDERI KAMAU: Ni wakati mwafaka wa kudhibiti kinywa kichafu cha Moses Kuria NA WANDERI KAMAU UKAMILIFU wa jamii mbalimbali duniani husheheni uwepo wa tamaduni tofauti...
[ad_1] WANTO WARUI: Tume ya elimu ya juu iadhibu vyuo vikuu vinavyotoa digrii feki Na WANTO WARUI MARA kwa mara, sekta ya elimu humulikwa kwa kile...
[ad_1] Team Kenya yamaliza Riadha za Dunia za Ukumbini katika nambari ya 22 Na GEOFFREY ANENE TIMU ya Kenya imeratibiwa kurejea nyumbani Jumanne kutoka Belgrade, Serbia...