[ad_1] Aliyekuwa mpenzi wa mrithi wa kampuni ya Keroche Tecra Muigai, Omar Lali ameshtakiwa kwa kosa la mauaji katika mahakama ya Lamu Hakimu Mkuu Allan Temba...
[ad_1] – Kakake Raila, Oburu Odinga alifuchua kuwa kiongozi huyo alikuwa amesafiri kwenda Dubai kwa ajili ya kupokea matibabu spesheli – Raila alirejea nchini kimya kimya...
[ad_1] Manchester City itashiriki katika kipute cha Klabu Bingwa Ulaya (UEFA) msimu ujao baada ya marufuku yao ya miaka miwili kufutwa na mahakama ya rufaa. Mahakama...
[ad_1] Zindzi Mandela, binti ya marehemu shujaa, Nelson Mandela ameaga dunia. Zindzi, mwenye miaka 59, alihusika katika vita vya kupigania uhuru nchini Afrika Kusini. Mama yake,...
[ad_1] -Rais wa Madagascar, Andry Rajoelina alitangaza siku ya Jumapili, Julai 12, kuwa wabunge wawili waliangushwa na COVID-19 -Manaibu wengine 11 na maseneta 14 pia walipatwa...
[ad_1] -Betty Bayo alisema alichagua kunyamaza ili kuepukana na aibu -Mke huyo wa zamani wa pasta Kanyari aliongezea kuwa wawili hao walianza kuishi pamoja wiki tatu...
[ad_1] Mvutano kuhusu ugavi wa mapato ambao umepasua Seneti ndio taarifa kuu kwenye magazeti ya Jumatatu, Julai 13. Taarifa nyingine pia iliyopewa uzito na magazeti haya...
[ad_1] -Maureen Atieno alipigwa na stima wakati alikuwa anafungua jokovu hilo nyumbani kwake -Baba mkwe wa Atieno alieleza kuwa tukio hilo lilitokea wakati marehemu alikuwa amekuenda...
[ad_1] -Mechi kati ya Tottenham na Arsenal ilitamatika 2-1 huku Toby Alderweireld akifunga bao la ushindi – Alexander Lacazette alifungia Arsenal bao la kipekee kabla ya...
[ad_1] – Johanna Omolo alishirikishiwa katika awamu ya pili katika mechi ya kirafiki kati ya klabu yake na Cercle Brugge dhidi ya Kortrijk na kutwaa ushindi...