Connect with us

General News

Inauma sana! Mwanahabari wa Nation asema baada ya kufutwa kazi

Published

on

[ad_1]

Wanahabari wamekuwa wakimtuliza kipusa mwenzao Sharon Barang’a baada ya kuangukiwa na shoka la kampuni ya Nation Media Group (NMG).

NMG iliwafuta kazi baadhi ya wanahabari wake baada ya kulemewa na mzigo wa mishahara na Barang’a ni mmoja wa waliopigwa teke.

Habari Nyingine: Wafanyakazi wa UN taabani baada ya kunaswa wakifanya mapenzi kwenye gari

Pole sana! Wakenya wamtuuliza Sharon Barang'a baada ya kuangukiwa na shoka la NMG

Mwanahabari wa NMG aliyetemwa Sharon Barang’a. Picha: UGC
Source: Instagram

Kampuni hiyo haikumuonea huruma kipusa huyo licha ya sauti yake yenye mvuto wala hali kuwa alimpoteza babake mzazi chini ya mwezi mmoja uliopita.

Kabla hata ya kumaliza kuomboleza kifo cha babake, NMG ilimrusha kwenye masikitiko mengine bila huruma.

“Nimepoteza kazi na babangu ndani ya mwezi mmoja …ni sawa tu. Navumilia tu. Asanteni nyote kwa juumbe za kunituliza,” alisema ripota huyo mwenye sauti tamu

Habari Nyingine: Bunge lapendekeza Kinuthia Mbugua achunguzwe kuhusu ufujaji wa KSh 3.5bn

Wakenya wengi waliguswa na hli ya kidosho huyo na kuingia kwenye mtandao kumpa pole wakimtaka awe mkakavu.

Wanahabari wenzake hawakubakli nyuma katika kumhakikishia kuwa giza huwa totoro zaidi kunapokaribia kukucha.

Habari Nyingine: Migori: Watu saba watozwa faini ya KSh 1k kila mmoja kwa kutovalia maski

Hizi hapa jumbe za kumtuliza binti huyo alizopokea kutoka kwa wote wampendao.

Mwanahabari huyo alikuwa ametangaza Juni 5 kuwa amempoteza babake.

READ ENGLISH VERSION

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia [email protected] au WhatsaApp: 0732482690.

Subscribe to watch new videos



[ad_2]

Source link

Comments

comments

Facebook

Trending