Connect with us

General News

Macron ashinda duru ya pili ya uchaguzi wa urais – Taifa Leo

Published

on

[ad_1]

Macron ashinda duru ya pili ya uchaguzi wa urais – Taifa Leo

Macron ashinda duru ya pili ya uchaguzi wa urais

NA MASHIRIKA

PARIS, UFARANSA

RAIS Emmanuel Macron wa Ufaransa ataanza kuhudumu kwa kipindi cha pili kama rais, baada ya kutangazwa mshindi kwenye duru ya pili ya uchaguzi wa urais uliofanyika Jumapili.

Macron aliibuka mshindi kwa kuzoa asilimia 58.6 ya kura dhidi ya Marine Le Pen.

Wafuasi wake walishangilia ushindi huo kwenye barabara za jiji kuu, Paris, kati ya miji mingine.

Kwenye hotuba yake ya ushindi, aliahidi kurejesha tena hali ya mshikamano nchini humo.

[ad_2]

Source link

Comments

comments

Facebook

Trending