Connect with us

General News

Ngirici amteua mhasibu kuwa mgombea mwenza – Taifa Leo

Published

on

[ad_1]

Ngirici amteua mhasibu kuwa mgombea mwenza – Taifa Leo

Ngirici amteua mhasibu kuwa mgombea mwenza

NA GEORGE MUNENE

MWAKILISHI wa Kike kaunti ya Kirinyaga Wangui Ngirici amemteua aliyekuwa naibu kamishna wa Tume ya Ukusanyaji Ushuru Kenya (KRA) Eliud Wanjao kuwa mgombea mwenza wake.

Bi Wangui anayegombea kiti cha ugavana kaunti ya Kirinyaga alisema kwamba Wanjao, ambaye ni mhasibu ana tajriba pana katika masuala ya usimamizi.

Alisisitiza kuwa watabadilisha Kirinyaga iwapo watachaguliwa uchaguzini.

[ad_2]

Source link

Comments

comments

Trending