Connect with us

General News

Shule ya upili ya Shibanga yanasa jicho la Magoha – Taifa Leo

Published

on

[ad_1]

Shule ya upili ya Shibanga yanasa jicho la Magoha – Taifa Leo

Shule ya upili ya Shibanga yanasa jicho la Magoha

NA SHABAN MAKOKHA

SHULE ya sekondari ya Shibanga iliyoko Kaunti Ndogo ya Butere, Kakamega iling’aa kwenye mtihani wa KCSE 2021 baada ya kutajwa miongoni mwa shule kumi za kiwango cha kaunti zilizoimarika zaidi katika matokeo yaliyotanagzwa na Waziri wa Elimu, Prof George Magoha.

Shule hiyo iliibuka ya tano bora kwa kiwango cha kaunti kwenye mtihani huo.