Connect with us

General News

NCIC yashtakiwa kwa kupiga marufuku ‘Hatupangwingwi’ – Taifa Leo

Published

on

[ad_1]

NCIC yashtakiwa kwa kupiga marufuku ‘Hatupangwingwi’ – Taifa Leo

NCIC yashtakiwa kwa kupiga marufuku ‘Hatupangwingwi’

NA RICHARD MUNGUTI

MAWAKILI Felix Kiprono na Vincent Kiprono wamewasilisha kesi kupinga marufuku ya matumizi ya “Hatupangwingwi” na “watajua hawajui.”

Tume ya Uwiano na Utangamano Nchini (NCIC) ilipiga marufuku maneno hayo ikisema yanapalilia chuki.

Mrengo wa Naibu Rais Dkt William Ruto unadai NCIC inatumiwa na serikali kuhujumu kampeni zake kuelekea uchaguzi mkuu wa Agosti 9, 2022.

 

[ad_2]

Source link

Comments

comments

Facebook

Trending