Connect with us

General News

Kimemia pabaya washirika wakizidi kumkosoa – Taifa Leo

Published

on

[ad_1]

Kimemia pabaya washirika wakizidi kumkosoa – Taifa Leo

Kimemia pabaya washirika wakizidi kumkosoa

Na WAIKWA MAINA

GAVANA wa Nyandarua Francis Kimemia, anakabiliwa na wakati mgumu akijiandaa kutetea kiti chake kwenye uchaguzi mkuu ujao huku washirika wake wakijitenga naye.

Bw Kimemia amekuwa akikosolewa vikali na Mwakilishi wa Wanawake, Bi Faith Gitau na Waziri wa Maji, Bi Sicily Kariuki anayemezea mate kiti cha ugavana Kaunti ya Nyandarua.

[ad_2]

Source link

Comments

comments

Facebook

Trending